Wakazi Wa Murang'a Wataka Serikali Kufunga Kanisa La Kogoocho
  • 3 years ago
Wakazi Katika Kijiji Cha Nguruna Eneo Bunge La Ithanga Gatanga, Kaunti Ya Murang’a, Wameitaka Serikali Kuhamasisha Kufungwa Kwa Kanisa La Kigoocho, Linalokataza Wafuasi Wake Kwenda Hospistalini Wanapozidiwa, Wakazi Sasa Wameitaka Serikali Kuchukua Hatua Ili Kuzuia Vifo Vya Watu Zaidi Katika Eneo Hilo
Recommended