"Baada ya wahusika kuona tunawakaribia walichukua maamuzi haya kwa Mo Dewji" Kamanda Mambosasa

  • 6 years ago
Kamanda kanda maalumu ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa ameelezea namna watekaji walivyoogopa namna Jeshi la Polisi lilivyokuwa linawakaribia katika ngome yao.

Recommended