Jaweni na Upendo kwa Ajili ya Mungu | Muziki wa Akapela "Yasifu Maisha Mapya"

  • 6 years ago
Yasifu Maisha Mapya

Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe!
Haleluya! Twakushukuru na kukusifu Wewe, Mwenyezi Mungu!

Kristo wa siku za mwisho ameonekana, akifanya kazi na kuzungumza miongini mwa wanadamu.
Neno lake hutuhukumu, kutuadibu na kututakasa, likituongoza kwenye njia sahihi ya maisha ya binadamu.
Ni neno la Mungu ambalo limenibadilisha,
kwa hivyo nina maisha mapya ya kumsifu Mungu. (Halleluya!)
Maumivu na mkanganyo vimetoweka; Nimefunguliwa katika roho na ninaimba wimbo. (Halleluya!)
Ni vizuri kweli kuelewa ukweli. Nimeupita mwili, mimi ni huru sana! (Msifu Mungu!)
Dhana zote na kutokuelewana kumeondolewa mbali, tabia yangu asi imebadilishwa.
Mimi hutembea katika njia ng'avu ya maisha ya binadamu; upendo wa Mungu ni wa thamani na halisi sana! (Msifu Mungu!)
Ni furaha ya Mungu kuufurahia upendo wa Mungu.
Nimeuonja upendo wa Mungu na siwezi kumwacha Mungu tena.

Ndugu wako pamoja, bila vikwazo au umbali.
Sisi huhudumu kwa uratibu katika kanisa, kwa moyo mmoja na akili, na kwa furaha sisi huimba wimbo wa sifa.
Kuimba kumejaa upendo wa Mungu. Twaimba mioyo minyofu.
Mungu wa vitendo Ametufanya wapya na kutubadilisha, kutufanya wapya na kutugeuza kuwa mtu mpya.
Ni nani hadhihirishi upendo katika moyo wake? Ni nani hadhihirishi mapenzi katika moyo wake?
Unacheza kumtukuza Mungu, nami napiga makofi yangu kando.
Tumeipita mipaka ya mizigo ya dunia, familia, na mwili; tukipendana, sisi ni watamu!
Siku zilizopita za maisha ya zamani kamwe hazitarudi, na wakati wa thamani uko mbele. Wakati wa thamani uko mbele!

Ni la kufurahisha sana kutekeleza wajibu wangu na kushuhudia, sisi huwa na ushirika kuhusu ukweli, tuliofunguliwa na huru.
Watu wa Mungu hufurahia maisha mapya; maisha bashashi ya ubinadamu yanipungia. (O.)
Ni la kufurahisha sana kutekeleza wajibu wangu na kushuhudia, sisi huwa na ushirika kuhusu ukweli, tuliofunguliwa na huru.
Watu wa Mungu hufurahia maisha mapya; maisha bashashi ya ubinadamu yanipungia.
Nitamwabudu Mungu wa vitendo milele!
Haleluya!

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Barua Pepe: contact.sw@kingdomsalvation.org
Wasiliana Nasi: +254-700-427-192

Recommended