Ishini Katika Upendo wa Mungu | Dansi ya Sifa "Wimbo wa Mapenzi Matamu" | Kanisa la Mwenyezi Mungu
  • 6 years ago
Wimbo wa Mapenzi Matamu

Kinani mwa moyo wangu, ni mapenzi Yako. Ni matamu sana, nakaa karibu yako.
Kukutunza hukoleza moyo wangu; kukutumikia na mawazo yangu yote.
Kuongoza moyo wangu, ni mapenzi Yako; mimi hufuata nyayo zako za mapenzi.
Mimi hujisogeza kulingana na macho Yako; mapenzi yanaonyesha furaha ya moyo wangu.
Mapenzi yanaonyesha furaha ya moyo wangu.
Sasa mimi huishi katika ulimwengu mwingine, hakuna yeyote isipokuwa wewe uko nami.
Unanipenda, ninakupenda; hakuna huzuni wala sikitiko hutusumbua.
Hakuna huzuni wala sikitiko hutusumbua. Kumbukumbu chungu hutokomea.
Kumbukumbu chungu hutokomea.

Kukufuata katika mapenzi, niko karibu Yako; furaha hutujaa Wewe na mimi.
Kuelewa mapenzi Yako, mimi hukutii tu, bila kutaka kutokukutii Wewe.
Nitaishi mbele Yako kuliko wakati wowote, siwezi kuwa mbali na Wewe tena.
Nikiyawaza na kuyaonja maneno Yako, napenda Ulicho nacho, kile Ulicho.
Napenda Ulicho nacho, kile Ulicho.
Nataka Uwe maisha yangu. Nitakuruhusu Uchukue moyo wangu.
Ah! Nakupenda, nakupenda. Mapenzi Yako yamenishinda,
kwa hivyo nina bahati kukamilishwa ili niutosheleze moyo Wako.
Haleluya! Haleluya! Haleluya! Mungu asifiwe!
Haleluya! Haleluya! Haleluya! Mungu asifiwe!
Haleluya! Haleluya! Haleluya! Mungu asifiwe!
Haleluya! Haleluya! Haleluya! Mungu asifiwe!

kutoka kwa Mfuateni Mwanakondoo na Kuimba Nyimbo Mpya

Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Wahusika wanaoonekana katika uzalishaji huu wanafanya kwa msingi wa kutotafuta faida, na hawajalipwa kwa njia yoyote. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.

Barua Pepe: contact.sw@kingdomsalvation.org
Wasiliana Nasi: +254-700-427-192
Recommended