Skip to playerSkip to main content
  • 8 years ago
Mtangazaji wa kituo cha Redio cha Clouds FM, Diva The Bawse ameshangazwa na baadhi ya maamuzi yanayotolewa na Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) dhidi ya wasanii wa muziki ambao nyimbo zao zinakiuka maadili ya mtanzania.

Category

😹
Fun
Comments

Recommended