Skip to playerSkip to main content
  • 7 years ago
Kileo Crezent ni Mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana Ngaza Mwanza yeye ameanza kazi ya Ualimu akiwa na umri mdogo na kwa sasa anasomea PhD, na ndoto yake siku moja ni kukutana na Mawaziri wawili wa Tanzania.

Category

🗞
News
Be the first to comment
Add your comment

Recommended