BREAKING: LEMA Afunguka MO Dewji Kutekwa, A-Z Kilichotokea!

  • 6 years ago
#LEMA #MODEWJI

BREAKING: LEMA Afunguka MO Dewji Kutekwa, A-Z Kilichotokea!

Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Godbless Lema, leo Oktoba 16, anazungumza na waandishi wa Habari kwa ajili ya kutoa ripoti ya Uchunguzi alioukamilisha kuhusiana na tukio la kutekwa kwa Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohamed Dewji, ambaye mpaka sasa bado hajapatikana.

SUBSCRIBE: Global TV Online:
Watch More Videos here:
Watch More Videos here:

Website:
FaceBook:
Instagram:
Twitter:
Install Global App: ANDROID:
Install Global App: iOS:

Recommended