Wimbo Mpya wa Dini | "Kazi ya Mungu Inaendelea Kuboreshwa" | Have You Followed God's Footsteps?
  • 5 years ago
Wimbo Mpya wa Dini | "Kazi ya Mungu Inaendelea Kuboreshwa" | Have You Followed God's Footsteps? (Official Video)

Kazi ya Mungu inaendelea kuwa bora;
ingawa kusudi linabaki bila kubadilika,
mbinu ya kazi Yake inabadilika daima,
na hivyo pia wale wanaomfuata.
Kadiri ambavyo Mungu anafanya kazi zaidi,
ndivyo anavyozidi mwanadamu kumjua, kikamilifu,
ndivyo tabia ya mwanadamu inavyozidi kubadilika
pamoja na kazi Yake ifaavyo.
Kazi ya Mungu inaendelea kuboreshwa;
Kazi Yake kamwe sio nzee na ni mpya daima.
Yeye kamwe harudii kazi ya zamani,
kazi ambayo haijafanywa awali tu ndiyo Atakayoifanya.

Mungu hadumishi kazi ile ile;
inabadilika kila mara na ni mpya daima.
Ni sawa na Mungu kunena maneno mapya
na kufanya kazi mpya kila siku kwako.
Hii ni kazi ambayo Mungu anafanya;
umuhimu upo katika "ajabu," na "mpya."
"Mungu habadiliki na Yeye atakuwa Mungu daima."
Huu ni msemo ambao hakika ni ukweli.
Kazi ya Mungu inaendelea kuboreshwa;
Kazi Yake kamwe sio nzee na ni mpya daima.
Yeye kamwe harudii kazi ya zamani,
kazi ambayo haijafanywa awali tu ndiyo Atakayoifanya.

Lakini kwa kuwa kazi ya Mungu hubadilika kila mara,
kwa wale wasiojua kazi ya Roho Mtakatifu,
na wanadamu wapumbavu wasiojua ukweli,
Wao huishia kuwa wapinzani wa Mungu.
Kiini cha Mungu hakitabadilika kamwe;
Mungu ni Mungu kila mara na kamwe sio Shetani.
Lakini hii haimaanishi kuwa kazi Yake haibadiliki,
na ipo daima kama kiini Chake.
Unasema kuwa Mungu habadiliki kamwe,
lakini utaeleza vipi "sio nzee kamwe, mpya daima"?
Kazi ya Mungu inakua na kubadilika,
Anaonyesha mapenzi Yake na kufanya yajulikane kwa mwanadamu pia.
Kazi ya Mungu inaendelea kuboreshwa;
Kazi Yake kamwe sio nzee na ni mpya daima.
Yeye kamwe harudii kazi ya zamani,
kazi ambayo haijafanywa awali tu ndiyo Atakayoifanya.

kutoka katika Neno Laonekana katika Mwili


Umeme wa Mashariki, Kanisa la Mwenyezi Mungu lilianzishwa kwa sababu ya kuonekana na kazi ya Mwenyezi Mungu, ujio wa pili wa Bwana Yesu, Kristo wa siku za mwisho. Linashirikisha wale wote ambao wanaikubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho na ambao wameshindwa na kuokolewa kwa maneno Yake. Liliasisiwa kikamilifu na Mwenyezi Mungu mwenyewe na linaongozwa naye kama Mchungaji. Kwa hakika halikuanzishwa na mtu. Kristo ni ukweli, njia, na uzima. Kondoo wa Mungu husikia sauti ya Mungu. Mradi unasoma maneno ya Mwenyezi Mungu, utaona kuwa Mungu ameonekana.

Kauli Maalum: Uzalishaji huu wa video ulitengenezwa kama mradi usio wa faida na Kanisa la Mwenyezi Mungu. Video hii isisambazwe kwa mtu mwingine kwa minajili ya faida, na ni matumaini yetu kwamba kila mtu atashiriki kuigawa na kuisambaza hadharani. Wakati unapoisambaza, tafadhali sisitiza chanzo chake. Bila ridhaa ya Kanisa la Mwenyezi Mungu, hakuna shirika, kundi la kijamii, au mtu binafsi anayeweza kubadilisha au kuhudhurisha visivyo maudhui ya video hii.
Injili ya Kushuka kwa Ufalme: https://sw.kingdomsalvation.org/
Kanisa la Mwenyezi Mungu: https://sw.godfootsteps.org/
Recommended