Skip to playerSkip to main content
  • 8 years ago
Rais Dk. John Magufuli ameruhusu waumini wa dini ya Kiislamu kuendelea na ujenzi wa msikiti wao, ambao awali ujenzi wake ulipigwa ulizuiwa kutokana na Kutopata kibali kutoka Wizara ya ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Category

People
Be the first to comment
Add your comment

Recommended