Skip to playerSkip to main contentSkip to footer
  • 7 years ago
Mbunge wa Kawe (CHADEMA), Halima Mdee amefunguka kuwa kinachopelekea wabunge wa chama chake kuhamia CCM ni tamaa zinazowaingia pindi wanapopewa dhamana na wananchi ya kuwatumikia na kudhani kwamba ubunge ni chanzo cha utajiri.

Category

People
Be the first to comment
Add your comment

Recommended