Baada ya kufanikiwa kukabidhi zawadi ya GARI kwa ndugu “Bakari Said” sasa @DiamondKaranga inakuletea shindano litalo kuwezesha kujishindia MAPENE popote ulipo Tanzania.
Kwa Tsh. 300 Tu! Ukinunua @DiamondKaranga unaweza kujishindia pesa taslimu kuanzia Shilingi 1,000/= hadi TZS 1,000,000/= kila siku.
Zaidi ya Milioni 40 kutolewa na kushinda ni rahisi sana. Nunua Pakiti ya Diamond Karanga, Tizama ndani, Utakuta kuponi yenye kiasi ulichojishindia na namba yetu ya simu, unatupigia na utatumiwa Muamala/ Pesa Yako kwenye simu yako Hapo Papo
Follow Rayvanny On:
Twitter : Facebook : Instagram :
For Bookings: Call: +255677011134 Email: makamejumaa10@gmail.com
Be the first to comment