Mauaji Ya Kinyama Junju: Aliyekuwa Mwakilishi Wadi Onesmus Gambo Ni Mmoja Washukiwa
- 3 years ago
Aliyekuwa Mwakilishi Wadi Eneo La Junju Onsemus Gambo Ni Mmoja Wa Washukiwa Waliohusika Katika Mauaji Ya Watu Watatu Eneo Hilo Kaunti Ya Kilifi . Kulingana Na Mahakama Ya Moja Mombasa Gambo Sasa Atasalia Korokoni Huku Washukiwa 6 Kati Ya 12 Waliokamatwa Wakiachiliwa Kuisaidia Idara Ya Polisi Na Uchunguzi Wa Kesi Hiyo.Watatu Hao Waliouwawa Kinyama Ni Pamoja Na Wafanyibiashara Sidik Anwaraii Sumra, Rahil Mohamed Kasmani Na James Kazungu.